*Hoteli inauzwa Mwanza Kirumba*
*Amenties*
1. Hotel ina rooms 20
2. Kila rooms kwa siku ni shilingi elfu 40 - 70
3. Hotel ina kumbi 4 za maharusi na mikutano
4. Ina reception , swimming pool , offices na restaurant & bar
5. Parking ipo ya kutosha
-Plot size jumla ya *Sqm 1411*
-Hati ipo (title deed)
-Hotel ina viwanja vitatu vimeungana - 83C , 83E, 83F kwenye ramani hapa chini kwenye picha