Sasa haina haja ya kuuza au kubadilisha tv yako kama sio smart... nimekuletea balaa hilo hapo tv box ambayo tutabadilisha tv yako kutoka kuwa ya kawaida na kuipa uwezo wa kufanya kazi ya smart tv.
utakuwa unauwezo wa kupata youtube, netflix na vitu vingi tu.
.
matumizi.
1. unatumia na flash au external.
2. unaweza uka dowload tv channel na ukaangalia online.
3. inaonesha picha kwa uwezo wa 4k.
4. unauwezo wa kuunganisha keyboard au mouse na ukatumia kama computer au kuchart na whatsapp.
5. pia unauwezo wa kuitumia kama playstation kwa sababu unaweza ukachomeka pad au ukatumia keyboard kucheza game kwa port za usb 4.
.
kama utahitaji kufungiwa utalipia 10,000 ila ni rahis kama unachomeka kingamuzi au deki.
you’re most welcome