Vitamin A&D ni kirutubisho mama katika mwili wa binadamu, ina kazi zifuatazo
-Ni muhimu katika ukuaji hasa wa mtoto kwa kutengeneza chembechembe za mwili.
-Husaidia kuongeza kinga ya mwili
-Husaidia afya ya macho
-Inasaidia kutunza ngozi inakuwa kama ya mtoto mchanga
-Inasaidia mwili kuongeza ufyonzaji na matumizi ya madini ya calcium ambayo hutumika kutengeneza mifupanna meno kwa 99%
-Kuongeza ubora wa mifupa, kuongez ujazo wake na kufanya isipinde na kuvunjika
-Pasipo uwepo wa vitamin hii, madini ya calcium hayawezi kuboresha afya ya mifupa.