Unahisi Muwasho Sehemu Ya Haja Kubwa Jua Ni Bawasiri Hiyo
Promoted
Dar es Salaam, Kinondoni, 22 min ago
1 views
Unahisi Muwasho Sehemu Ya Haja Kubwa Jua Ni Bawasiri Hiyo
+1
Forever Living
Brand
Energy Supplements
Type
Aloe Vera
Active Ingredients
Drink
Formulation
All
Gender
Adult
Age Group
Berry
Flavor
Chemical-Free
Features
Before Meal
When to Take
Bottle
Package
Supplements
Energy Supplements Type
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Open
• Mon - Sat, 06:00-20:00
BAWASIRI ni nini?
Bawasiri ni Maambukizi na Uvimbe katika sehemu ya haja kubwa. Zipo Aina Mbili za Bawasiri kulingana na sehemu zinapotokea
1.Bawasiri ya Ndani
2.Bawasiri ya Nje
DALILI ZA BAWASIRI
>Uwasho sehemu ya haja kubwa. Unaweza kuwa mkali mfululizo au kwa kipindi
>Kupata maumivu makali wakati wa haja kubwa. Unaweza kuhisi kama unakatwa na kisu
>Kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa. Inaweza kuwa matone au nyingi
>Kuvimba sehemu ya haja kubwa. Uvimbe unaweza ondoka baada ya muda au kwa kuurejesha kwa kidole
>Mwili kuwa mchovu bila kufanya kazi
Sababu Zinazopelekea Bawasiri
*Choo kigumu
*Kuharisha kwa muda mrefu
*Kukaa kwa muda mrefu
*Uzito Mkubwa
*Urithi
*Wajawazito
*Ngono kinyume na maumbile
*Unyanyuaji wa vitu vizito
Athari Za Bawasiri
*Kufanyiwa Upasuaji
*Maumivu makali na kukosa ufanisi
*Kuathirika Kisakolojia