Ni kirutubisho cha asili kisicho na kemikali
kidonge kimoja cha mwani ni sawa na mtu aliyekula kilo moja ya matunda na kilo moja ya mboga za majani.
Inaongeza damu mwilini ,pia wanaokosa hamu ya kula inawafaa
Huongeza nguvu mwilini(energizer),
Ni kisafishaji cha asili(detoxification) huondoa sumu mwilini
Huondoahatari ya kupata kansa, huzuia kansa isisambae zaidi
Hupunguza kiwango cha kolestero na hatari ya ugonjwa wa moyo,
Inaweka sawa vichocheo vya mwili,huongeza kumbukumbu kwa watoto umri wa shule na wazee wanaosumbuliwa na kumbukumbu au ubongo kuchoka
husaidia wanaosumbuliwa na tumbo la hedhi, kichefuchefu, mood change etc
wanaosumbuliwa na fungus kwa muda bila suluhu hii inaua fungus na bacteria kwenye damu
inatibu magonjwa sugu ya ini, ikiwa pia inatibu homa ya ini
Husaidia kuongeza kinga za mwili(CD4),