NIPIGIE SIMU, NITUMIE SMS AU NITAFUTE WHATSAPP ILI TUWASILIANE KWA UKARIBU ZAIDI USIOGOPE KUNITAFUTA
Open
• Mon - Sun, 00:00-23:59
Faida za kutumia Spirulina:
Inaongeza damu mwilini
Huongeza nguvu mwilini(energizer),
huondoa sumu mwilini.
Hutoa mlo kamili kwa wakubwa na wadogo.
Hupunguza hatari ya kupata kansa, na wenye kansa huzuia isisambae zaidi.
Inaweka sawa vichocheo vya mwili, huongeza kumbukumbu nzuri kwa watoto umri wa shule na wazee wanaosumbuliwa na kumbukumbu au ubongo kuchoka.
husaidia wanaosumbuliwa na tumbo la hedhi, kichefuchefu, mood change etc.
inatibu magonjwa sugu ya ini, ikiwa pia inatibu homa ya ini.
Husaidia kuongeza kinga za mwili(CD4)
Inarekebisha kiwango cha sukari mwilini.
Kusaidia kuweka mafuta na sukari ndani ya mwili kwenye viwango kizuri.
Ni nzuri pia kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho akiwa tumboni.