We are located nearly to ( BAKITA ) or ( THE GEM PLAZA )
Open now
• Mon - Fri, 08:00-23:00
FAIDA ZA MWANI
Husaidia kuimarisha kinga ya mwili
Una madini na virutubisho muhimu mwilini
Husaidia afya ya mifupa, macho, ngozi na nywele
Husaidia mmeng’enyo wa chakula
Huchangia afya ya akili na utulivu wa mwili
Husaidia kudhibiti uzito
Huchangia afya ya mapafu na mfumo wa upumuaji
Husaidia afya ya uzazi na ustawi wa mwili kwa ujumla
Unapatikana katika: Unga • Gel • Vidonge
Delivery Tanzania nzima!
Call/WhatsApp062XXXXXXX