1. Inaondoa mafuta mabaya (cholesterol) katika mishipa ya damu 2. Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu 3. Husaidia afya ya viungo (joints) kwa kuongeza ute ute (synovial fluid ) hata gouts 4. Hukukinga na shinikizo la moyo 5. Husaidia kuongeza kumbukumbu na kwa watoto pia husaidia 6. Hushusha pressure ya kupanda 7. Inasaidia afya ya ubongo 8. Inatibu kipanda uso ( migraine headaches ) 9. Husaidia afya ya macho 10. Inasaidia ufanyaji kazi wa kongosho 11. Inaondoa rashes kwenye ngozi 12. Inazuia magonjwa ya kurithi iwapo itanywewa wakati wa ujauzito 13. Inapoza maumivu ( ant inflammatory effect ) 14. Ikitumiwa na chelated zinc husaidia afya Prostate Gland hivyo huzuia kansa ya kibofu cha mkojo .