ROYAL JELLY ( MAZIWA YA NYUKI).
Nyuki huwa na mazao mengi kama Asali, propolis, ntaa, sumu ya Nyuki na maziwa ya Nyuki ( royal jelly).
Royal ni chakula special kwa malkia wa Nyuki kwa ajili ya kumuwezesha katika shughuli zake za uzazi.
Cha na pia ndio chakula kinacho msaidia kuishi maisha marefu zaidi kuliko Nyuki wengine.
Malkia wa Nyuki anaweza kuishi kwa wastani wa mwaka 1 Hadi miwili, wakati Nyuki wa kawaida uishi chini ya mwaka mmoja.
Pia binadamu tunapo tumia Royal jelly upata faida kama hizo:
Miungoni mwa faidia ni:
Kupunguza kasi ya kuzeeka.
Antioxidants kwa ajili ya kutibu na kuzuia magonjwa mbalimbali hasa mivimbe na saratani.
Inaongeza Kinga ya mwili.
Inaongeza uzazi kwa kurutubisha mayai kwa mwanamke na kuboresha mbegu kwa mwanaume.
Ina Kinga na kutibu tezi Dume.