inaimarisha kinga ya mwili
• Hupunguza uwezo wa bakteria/virusi kusababisha maambukizi.
. Inapunguza uchovu na kuongeza nguvu
• Huongeza uwezo wa mwili kufanya kazi na hupunguza fatigue
. Inasaidia usingizi na kutuliza mfadhaiko
• kutuliza akili, kupunguza msongo wa mawazo na kuboresha usingizi.
. Inapunguza uchochezi mwilini
• Inafaa kwa maumivu ya viungo, kisukari, na matatizo ya uchochezi mwilini.
ni Anti-aging (kupunguza uzee wa seli)
• Ina antioxidants zinazosafisha sumu mwilini na kulinda seli dhidi ya kuharibiwa.
. Inasaidia afya ya ini• inapunguza uharibifu wa ini kutokana na sumu.
inasaidia shinikizo la damu na mzunguko wa damu
• inaimarisha mzunguko wa damu na afya ya mishipa na kusawazisha BP
. Inaongeza afya ya mapafu
• inasaidia watu wenye pumu, kikohozi cha muda mrefu na matatizo ya kupumua.