Hii ndiyo sababu inayokufanya unenepe
-mwili wako ukiwa na hizi taka mwili nyingi upunguza ufanisi wa ufanyaji kazi wa viungo tofauti mwilini,ambayo pia ni hatari kiafya kama maini,figo kuchuja uchafu,kuchokachoka ovyo pamoja na kupata changamoto kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanaume.
ili mwili kujilinda(body defense mechasism)mwili unafahamu kwamba hizi sumu hupenda kukaa kwenye mafuta hivyo mwili utengeneza mafuta kwa kasi sana kutoka kwenye vyakula vya wanga unavyokula kila siku na kujaza mwilini na sehemu tofauti kama mapaja,tumboni,pamoja na mikononi.