Jitibu na jikinge na tatizo la tezi dume kwa dawa za asili
huwa na dalili kama;
1. kukojoa mara kwà mara usiku.
2. kutumia nguvu wakati wa kukojoa. hatari hii huchangiwa zaidi na :
1. mitindo ya kisasa ya maisha
2. vinasaba vya kurithi kwenye familia au ukoo. matibabu ya tezi dume mara nyingi uhusisha upasuaji. lakini pia kuna njia ya kiasili ambayo haitaji upasuaji ambayo utumia dawa za asili kama prosta mark capsules, ambayo ni mchanganyiko wa mimea ya prunus africana, saw palmetto, stinging nettles na flax seeds. matumizi ya dawa asili ya tezi dume - prosta mark tumia kopo moja lenye capsules 60 kwa ajili ya kinga ya tatizo la kuvimba kwa tezi dume tumia makopo 3 kwa ajili ya matibabu ya ya tatizo la kuvimba kwa tezi dume.