FAIDA ZA KUTUMIA PROBIO 3
Katika Tumbo / mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuna bacteria takriban Trillions ambao humo wapo wazuri na wabaya.
Bacteria hawa wakiwa hawako katika uwiano ulio sawa yaani bacteria wabaya wakizidi kushambulia tumbo ndipo mwanadam huanza kupata maumivu ya tumbo.
Probio3 ya Bf Suma kila sachet moja huwa na ujazo wa bacteria wazuri billion 200. Hivyo ndiyo maana mtumiaji hupata matokeo haraka kutokana na utendaji wake.
KAZI ZA PROBIO 3
Kuondoa bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo.
Husaidia kukausha vidonda vya tumbo
Huwafaa zaidi wenye vidonda vya tumbo na wenye changamoto za figo
Husaidia kurepair tumbo na kulifanya tumbo liwe katika asili yake.
Humsaidia mwenye kansa ya utumbo.
Husaidi pia kuondoa mawe kwenye figo
Huongeza kinga ya mwili
Huondoa sumu mwilini.