NIPIGIE SIMU, NITUMIE SMS AU NITAFUTE WHATSAPP ILI TUWASILIANE KWA UKARIBU ZAIDI USIOGOPE KUNITAFUTA
Open
• Mon - Sun, 00:00-23:59
Kuna faida gani kufanya detox?
1. kupunguza uzito uliozidi na kua na mmeng'enyo mzuri wa chakula.
2. kuongeza nguvu katika mwili. (boost energy levels)
3. kupunguza uchochezi (inflammation)
4. kua na ngozi yenye afya
5. kuongeza kinga ya mwili
6. kuamsha ari (mood) au kua mchangamfu.
dalili zinazoashiria kua mwili unahitaji detox
- kuongezeka uzito
- kua na hamu ya kula hovyo na kupenda sana vitu vya sukari
- kuchoka mara kwa mara
- kutokupata usingizi wakati wa usiku
- kupungua kwa ufanisi wa kufikiri
- maumivu ya kichwa mara kwa mara
- kubadilika kwa mihemko mara kwa mara (mood swings)
- harufu mbaya ya kinywa na maeneo mengine
- kukosa choo au kupata choo kigumu
- maumivu ya misuli
- matatizo ya ngozi (skin reactions)