Nguvu za kiume ni uwezo wa mwanaume kwenye tendo la ndoa, inaweza kudhoofika kwa vitu mbali mbali kama lishe, shuhuli, uzito mkubwa, maradhi na kujichua.
1. ARGI+, Ina wingi wa l-arginine kwa ajili ya kutanua mishipa ya damu kwenye uume na kufanya damu ipite vizuri ili misuli iliyopo huko iwe na nguvu na imara.
Ina vitamin D kwa wingi kwa ajili ya ukuaji wa misuli na kusimama imara.
Inafaa kwa mtu mwenye tatizo la ulegelege.
2. VITOLIZE, hii ina mchanganyiko wa mbegu za mimea ya jangwani lakini ina selenium kwa wingi kwa ajili ya kuleta hisia unapokuwa na jinsia tofauti.
Ina zinc na copper kwa wingi jwa ajili ya kuboresha kazi ya tezi dume, kuzalisha na kutengeneza mbegu nyingi na zenye afya.
Itakusaidia kwenye stamina ya tendo.
3.ALOE VERA GEL, hii inaongeza ufyonzwaji wa virutubisho kwenye damu na mmeng'enyo wa chakula.