1. Inatokana na vyakula vya asili
na kamili (soya, shayiri na
maziwa)
2. Ina kiwango kikubwa cha
protini ( gramu 18 kwa kila
mlo) ambayo ni 35% ya
kiwango cha virutubishi
vinavyotakiwa kwa mlo
3. Ina amino acid zote 22
zikiwemo 9 muhimu kutoka
katika mchanganyiko wa soya,
maziwa na protini "aina ya
casein na leucine"
4. Ina aina 25 za vitamini na
madini muhimu yanayohitajika
mwilini
5. Ina kiwango kikubwa cha
nyuzinyuzi (gramu 5 kwa kila
mlo)