Vitamin C (Ascorbic Acid), Multivitamin Complex, Antioxidant, Multimineral Complex
Active Ingredients
Powder
Formulation
All
Gender
All
Age Group
Berry
Flavor
All Natural
Features
After Meal
When to Take
Stick
Package
Delivery
Dar es Salaam • Kinondoni
1 day
TSh 5,000
Across country
1-2 days
TSh 10,000 - 15,000
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Mon - Sat, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Mon - Sat, 09:30-10:30
Ifahamu supergreens bidhaa yenye mchanganyiko wa mboga mboga na matunda zaidi ya ishirini, miili yetu inakuwa acidic mara nyingi kwa sababu tunatumia kemikali siku nzima kutoka kwenye vyakula na vinywaji kiasi cha kwamba miili yetu inakuwa acidic, hii ndio chanzo kikubwa cha mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa kama sukari na saratani,
supergreens itakusaidia kubalance PH ya mwili wako kutoka acidic kwenda alkaline kwa kukupa wewe virutubisho vinavyoondoa acid mwilini lakini pia ni viondosha sumu na kukupunguzia risk ya magonjwa mengi sana,
hii supergreens hutumiwa pia na watu wenye kisukari kubalance kiwango cha sukari kwenye damu na kurudisha kuwa sawa, inakupa mmeng'enyo mzuri lakini rotuba ya mboga za kijani ambazo mwili hukosa utazipata huku. kwa maelezo na bidhaa zingine kama hizi usiache kutupigia kwa namba zetu hapo chini