Multi vitamin gummies ina vitamin zifuatazo vitamin A,vitamin c,vitamin D,vitamin E,vitamin B6,vitamin B12,Calcium,Phosphorus,Iodine,Zinc na Sodium
Kama wewe mvivu wa kula mboga za majani pamoja na matunda hii mult vitamin inakufaa sana
Itakufanya upate afya nzuri
Itakufanya upate vitamin za kutosha mwilini
Inaongeza kinga ya mwili
Kwenye kopo kuna supplements 60
Unatumia supplements mbili kwa siku
Location:sinza kumekucha near fine travellers hotel