Tatizo la miguu kuwaka moto husababishwa na kufa au kudhohofika kwa mfumo wa Neva kwenye miguu, (peripheral nervous system)
kisababishi
*kupungukiwa na vitamin B complex mwilini kwasababu ya lishe dhaifu.
*matumizi ya dawa kwa Mudathiri mrefu kama za TB, sukari na dawa zingine za virusi.
DALILI
1. Miguu kuwaka moto, kuhisi ganzi miguuni kama vile unahisi umevaa soksi pamoja na mikononi.
2. kuhisi kitu chenye ncha kali kinakuchoma miguuni sanasana kwenye vidole.
3. kushindwa kushika au kunyanyua vitu na kuhisi misuli imechoka.
SASA basi ondoa shaka, tatizo lako lisiendelee kukusumbua wasiliana nasi ofisini kwetu au tupigie moja kwa moja tutakusaidia uondokane na tatizo hilo