Je unasumbuliwa na matatizo ya mifupa ikiwepo maumivu makali ya magoti (osteoporosis)
mifupa hutokea ktk uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma mara kwa mara),magoti kuuma,nyonga na kifuani.
sababu zinazosababisha matatizo ya mifupa (oeteoporosis)
ulevi kupita kiasi
2.magonjwa ya figo.
3.upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (menopause) kikomo cha hedhi
4.upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
5.anorexia uzito mdogo kupita kias apa ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez kupita kiasi.
6.uvutaji sigara
7.kutofanya mazoez ya viungo vya mwili.
8. baadhi ya madawa yenye kemikali kama chemotherapy, steroids, proton pump inhibitor na ant-seizure medication.