Tatizo la maumivu kwenye miguu pamoja na magoti, kiuno na mgongo husababishwa na kupotea au kupungua kwa ute(psynovial fluid) inayopatikana katikati ya mfupa wa kiungio na msuli, ute huu huzuia msuguano baina ya huo mfupa na msuli pale unapotembea, sasa ukipungua ndipo utakapoanza kusikia moto au maumivu kwasababu msuguano unakuwa mkali na muda mwingine unaweza kushindwa kutembea kabisa
UTE UBAPUNGUAJE
*Ute unapungua kutokana na umri kuwa mkubwa sana na kupoteza virutubisho muhimu mwilini hususan Vitamin B complex .
* Kuwa na lishe duni isiyokamili kukupa virutubisho vya kutosha Vitamin B complex
* kujihusisha na kazi ngumu mno.
DALILI.
1. Kuhisi miguu kuwaka moto au magoti au kiuno na maumivu makali mno.
2. kuhisi ganzi miguuni au kuhisi kama umevaa soksi miguuni au mikononi
3. kupata maumivu makali ya mgongo au kiuno unapotoka kuinama.
4. kuhisi maumivu ya ncha kali miguuni sanasana kwenye vidole.
SASA BASI tupigie tukusaidie kuliondoa tatizo lako moja kwa moja