Vitamin C (Ascorbic Acid), Aloe Vera, Multivitamin Complex, Antioxidant
Active Ingredients
Drink
Formulation
All
Gender
All
Age Group
Unflavored
Flavor
All Natural
Features
Before Workout
When to Take
Bottle
Package
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Mon - Sat, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Mon - Sat, 09:30-10:30
Forever aloe vera gel ni natural superfood yenye virutubisho vingi sana , sio chungu kwakuwa imetengenezwa na ini la ndani la aloe vera, ina vitamin c kwa wingi sana lakini ina ingridients nyingi sana na kuifanya iwe na mlo kamili mwili wako huhitaji.
Vitamin c ni kiondosha sumu na pia ni nzuri kwenye kuongeza mgawanyiko wa cell za damu mwilini hivyo huongeza kinga mara dufu.
Aloe vera inaboresha mmeng'enyo wa chakula na kufanya mwili uweze kupokea virutubisho kutoka kwenye mlo wako kiurahisi sana.
Ni nzuri sana kukupa choo kizuri, nikimaanisha choo cha katikati sio kigumu wala sio kilaini sana. Hii itakusaidia kuondokana na matatizo ya choo kama kutokea kwa bawasili kwa sababu ya choo kigumu.
Ni nzuri sana kwa watoto wanaosumbua kula mana ina mlo wote mtoto anahitaji.