Ni kirutubisho kilichotengenezwa kwa mimea ya baharini ijulikanayo Kama Arthrospira Plant
KAZI YA SPIRULINA:
1-Huongeza CD4 kwa wenye HIV
2-Ina control high blood pressure
3-Husaidia kwa watumiaji wa computer na simu kwa muda mrefu.
4-Inaondoa mafuta mwilini.
5-Inalinda mwili kupata Kansa.
6-Inaondoa sumu Kwenye damu.
7-Huondoa ugonjwa wa kusinzia.
8-Ina vitamin B1,B2,B3,B6 na B9 pia ina vitamin C,D,A, na K
9-Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho tumboni.
10-Inasaidia kwa watu wenye aleji ya kitu chochote.
11-inaongeza vichocheo vya oestrogen Homoni (makazi ya mtoto)
12-huongeza hamu ya kula
13-humkinga mtoto na maambukizi akiwa tumboni mwa mamaake
14-Hutibu majeraha ya nje
15-Hutibu vidonda vya Tumbo
16-ina Calcium, zinc, phosphorus, iron, potassium, madini yote muhimu yanayohitajika kwa mama mjamzito.