Unasumbuliwa na ganzi, uchovu na udhaifu wa joints? Je unasikia moyo wkati mwingine unaenda kasi na kucheza cheza kwa misuli?
Je umekua ukitumia madawa mengi ya kemikali na unahofu sumu kuongezeka kwwnye mwil? Je umeambiwa figo lako limeanza kupoteza nguvu?
Ginseng ina uwezo kuingia kwanye RNA za mwili na kuondoa kila kiambata chenye sumu au kuzuia uharibifu wowote ambao ungeweza kutokea.
Ina steroid kutoka katika mimea ya aina ya “ginseng” mimea hii China huiita mfalme wa mitishamba “king of magic”
Steroid ya aina hii hupatikana tu kwenye mimea ya jamii ya ginseng.
Ginseng ni molecule ndogo na inapoingia mwilini huingia katika kila ogani ya mwili sababu ya udogo wake na hufanya kazi yake kwa uhakika zaidi mpaka pale itakapotolewa nje ya mwili.
Udogo wa steroid hii ya ginseng na ueneaji wa dawa hii katika kila organi ya mwili na uwezo wake wa kukaa mwilini kwa muda
GINSENG hii inaundwa na RH2 na RG3 kumbukumbu, allergies zote, kisukari,huondoa uchovu, Hufyonza sumu kwenye molecular