Forever absorbent c inakupa complete vitamin c naturally kutoka kwenye machungwa
Kumekuwa na changamoto nyingi sana za ngozi hususan mdomoni kuwa na vidonda n.k hii ni kutokana na ukosefu wa vitamin v yakutosha
Kama utakimbilia kwenye machungwa tambua unatakiwa ule chungwa fresh ambalo limechumwa dakika chache au masaa machache tu, chungwa linapuputisha vitamin c kiurahisi yakishazidi masaa nane na kuendelea
Watu wengi tunakula chungwa limeshakaa zaidi ya siku 3 mpaka wiki, hatupati chochote hapo.