tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Health & Beauty
  3. Vitamins & Supplements
  4. Multivitamins
  5. Forever Kids Multivitamins
Dar es Salaam, Kinondoni
11 views

Forever Kids Inaongeza Hamu Ya Kula Kwa Watoto

+1
Forever Living
Brand
Vitamin Supplements
Type
Multivitamin Complex, Vitamin C (Ascorbic Acid), Multimineral Complex, Vitamin B
Active Ingredients
Tablets
Formulation
All
Gender
Kids
Age Group
Unflavored
Flavor
All Natural, Chemical-Free
Features
Before Meal
When to Take
Bottle
Package
Vitamin D Supplements
Vitamin Supplements Type
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Open now
• Mon - Sat, 06:00-20:00
IJUE FOREVER KIDS Watoto wengi wanakosa lishe bora kwasababu wanashindwa kupata virutubisho vya kutosha kutoka kwenye chakula. Hii inatokana na watoto wengi kutopendelea kula mboga za majani. Vile vile ukosefu kwa vitamin unaweza ukawapelekea watoto kukosa hamu ya kula na hivyo kupelekea kudhoofika kwa afya. JE FOREVER KIDS NI NINI? Forever Kids ni Multi-Vitamin kwa ajili ya watoto. Ipo kwenye vidonge vitamu kama pipi hivyo kufanya watoto wavipende huku vikiwapa virutubisho muhimu wanavyovihitaji kila siku ikiwemo vitamini A, C, D, na B12, Calcium, Iron na Zinc. MTOTO WAKO ATAPATA FAIDA ZIPI? # Inasaidia kuwapa watoto vitamin na madini muhimu kwa afya njema na kuboreshe mfumo wa kinga na hivyo kuuwezesha mwili kupambana na magonjwa. # Inasaidia kuwarejeshea watoto hamu ya kula na hivyo kuwapa virutubisho zaidi na kuboresha afya. # Ipo kwenye mfumo wa pipi hivyo kufanya iwe rahisi kwa watoto kuvitafuna na kuvipenda. # Haina rangi ya kutengenezwa wala preservatives zozote.
TSh 50,000
Negotiable
12 Feedback view all
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • Inspect the item and ensure it's exactly what you want
  • Make sure that the packed item is the one you've inspected
  • Only pay if you're satisfied