Habari, je unatumia supplement gani kutibu matatizo yanayoikumba macho yako, wimbi kubwa la watu sasa wanatumia miwani kama kutibu matatizo ya macho sasa ni jambo la muhimu lakini sio tiba ya moja kwa moja, sasa forever living imetoa forever ivision bidhaa hii imetengenezwa special kwa ajili ya macho, tatizo la kutokuona mbali au karibu, mtoto wa jicho, na hata maumivu yakichwa yanayoletwa na macho kuuma, ina vutamin E nyingi sana kwa ajili yakujucha mwanga wa blue ambao huaribu macho kutokana na vifaa tunavyotumia muda mwingi kama simu au computer, inarudisha ubora wa macho kuona vizuri hata kwenye mwanga na walioathirika na matumizi ya miwani muda mrefu. karibu