Aloe vera gel ni kinywaji kilichotengenezwa kiasili na mmea wa aloe vera wakichukua kiini cha ndani tu ,huku maganda ya nje wakiyaacha. Haijaongezwa kemikali yoyote wala sukari yoyote
Kunywa aloe vera gel ni sawa na kuchuma aloe vera shambani na kuitumia ikiwa na virutubisho vyake vyote,
Aloe vera gel ni mlo uliokamilika wenye nutrients 200, vitamins 20 pamoja na amino acids 6
Fauda.
1. Husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula.
2. Ina viondosha sumu vingi sana ikiwemo vitamin c itakayokuondolea taka na sumu tunazotumia kutoka kwenye mazingira.
3. Husaidia kung'arisha ngozi.
4. Husaidia kupata choo kizuri na kwa wakati.
5. Huongeza nguvu mwilini.
6. Hupunguza sukari kwenye damu.
7. Huzuia kasi ya uzee .
Kama unaipenda afya yako pata hii angalau kila baada ya miezi mitatu
Tumia mls 120 kila asubuhi na jioni.