*NI KIPINDI GANI UNAPASWA KUSAFISHA UKE WAKO??*
~baada ya kumaliza hedhi unapaswa kutumia kisafishio maalumu ili kuondoa mabaki mabaki ya damu, maana bila kuyasafisha husababisha maambukizi ya fangas sugu
~Baada ya tendo
~kama una mahusiano na mwanaume zaid ya mmoja yakupasa kuwa na kisafishio maalumu ili kujilinda kupata magonjwa ya zinaaa
~kama unatumia vyoo vya public, sokoni, ofisin, yakupasa kuwa na kisafishio maalumu ili kujilinda kutokupata maambukizi ya magonjwa ya uzazi
~kama unavaa nguo za kubana mda mwing kama surual, skin tight, chupi za nylon, yakupasa kuwa na kisafishio maalumu kwaajili ya kuondoa na kujilinda na maambukiz ya bakteria wabaya.
~uke ni sehemu ambayo inahitaji ulinzi sana bila ya hivyo utakuwa ukiteseka mara kwa mara kutumia ANTIBIOTIC za kuosha bila kupata matokeo thabiti,,
njema ni kwamba nina kiosheo maalumu ambacho kitakusaidia kusafisha uke wako na kukuwekea ulinzi madhubuti kukulinda kutokupata maambukizi ya njia ya uke,