Magonjwa ya moyo ndiyo yanayoongoza Kwa vifo vingi haswa akwa wenye umri mkubwa.
Maradhi ya moyo kama.
1. Heart failure
2. Arrhythmia
3. Congenital heart dses
4. Cardiomyopathy
5. Heat attack na mengineyo.
Kwa kadri umri unavyosonga ndivyo hatari ya
1. Kupumua Kwa shida
2. Kizunguzungu na udhaifu wa mwili
3. Maumivu ya kifua haswa upande wa kushoto
4. Kuvimba Kwa vifundo vya miguu au tumbo kukaa gesi mara Kwa mara
5. Overweight
6. Kichefu chefu
7. Jasho jingi
8. Moyo kwenda haraka
9. Maumivu ya kichwa na viungo n.k
1. Heart failure
2. Arrhythmia
3. Congenital heart diseases
4. Cardiomyopathy
5. Heat attack and others.
1. Difficulty breathing
2. Dizziness weakness
3. Chest pain especially on the left side
4. Swelling of the ankles or stomach to stay gas frequently
5. Overweight
6. Poisonous poison
7. Sweating etc