Mwili wako unatengeneza mafuta mengi sana kitoka kwenye wanga na proteins, sasa pia mmeng'enyo wako wa chakula usipofanya kazi vizuri huongeza taka mwili nyingi(undigeste food) na sumu ambazo huwa ni chanzo kikubwa cha mafuta mengi sana kwenye tumbo la chini, sasa kufanya mazoezi hakuezi kuondoa sumu mwilini bali utapunguza tu kilo kwa uchache sana,
sasa our FIT PROGRAM inakuja na supplements zitakazokwenda kuondoa taka mwili na sumu ulizozitumia mara kwa mara, itauzuia mwili wako kutikutengeneza mafuta kutoka kwenye vyakula vya wanga instead itaenda kuyeyusha mafuta ya ziada yanayotengeneza manyama uzembe na pia kukutoa kwenye alpetite ya kula ovyo, hivyo itacontrol diet yako, program hii inapunguza kilo 6 mpaka 9 ndani ya siku tisa kwa hatua ya awali na pia ukiamua kuendelea na program hii utapinguza mpaka kilo 29