Baadhi ya dalili ambazo zitakusaidia kutambua kuwa una upungufu wa madini ya zinc ni pamoja na
Ø Kupoteza hamu ya kula
Ø Kujiskia vibaya na huna mood mara kwa mara
Ø Kupungua kwa uwezo wa kutambua ladha ama harufu ya kitu
MADINI YA ZINC HUSAIDIA
1) Kusawazisha kiwango cha sukari katika mwili
2) Kusaidia utengenezwaji wa protini kwenye mwili
3) Kusaidia kusapoti mfumo wa upumuaji
4) Kuongeza ufanyaji kazi wa seli za mwili
5) Kupunguza sumu mwilini na kusaidia mmengeyo wa chakula
Upungufu wa zinc kwa wanaume huathiri uzalishaji wa testosterone, huwaweka wanaume kwenye mazingira hatarishi ya kupata saratani ya tezi dume, na huwasababishia ugumba. Upungufu wa zinc umehusishwa na kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Afya Ya Uzazi Ya Mwanamke:
Kwa wanawake, zinc inahusika katika ukuuaji wa yai (oocyte).