FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI!
Duka linaendelea na biashara kila siku, lipo kwenye eneo lenye wateja wengi Kinondoni, karibu na ghorofa la S&F House, opposite na Maasai Club.
Linauzwa pamoja na stock, friji, vifaa muhimu vya biashara na wateja waliokwisha kuzoea eneo.
Huna haja ya kuanza biashara kutoka sifuri—unaingia na kuendelea kufanya kazi mara moja.
Bei ni Milioni 8 tu (mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli).
Wasiliana nasi piga namba au