Taa hizi zinatumia nishati ya jua kujicharge na zinajiwasha automatically giza likiingia na kujizima jua linapochomoza na pia unaweza kuiweka na kuichomelea kwenye bomba taa hizi ni taa nzuri sana inakuja na screw zake kufanyia mounting na pia inakuwa na wireless remote ambayo itakusaidia kuwasha na kuzima taa wakati wowote utakao hitaji na pia itakusaidia kubadilisha mode kwasababu taa hii ina motion sensor mode na pia inaweza kuwaka muda wowote kwenye high brightness mode Taa hii ni IP65 woterproof hapo kwenye picha zipo 3 iyo kubwa kabsa ni watts 200 bei laki 235,0000 iyo inayo fata ni ya kati watts 150 bei laki 195000 na iyo ya mwisho ni watts 100 bei laki 135,000 kama bado chagua unataka ipi na taa ngapi