Utajisikiaje pale ambapo unatoka kazini unakuta nyumba
eneo la nyumba yako lote ni giza ukiuliza luku una mbiwa luku ipo tatizo kuna mgao wa umeme kwiyo week nzima mwendo wa giza
rafiki nyumba yako ikiwa giza unawapa nafasi vibaka majambazi kuvamia nyumba yako pamoja na viumbe vibaya raha ya nyuma mwanga
Sasa mimi nakushauri chukua tumia Taa ya kama hio kwenye picha ni ya solar iyo sio umeme
Ni 240W ina jichaji kwa saa 12 na kuwaka kwa saa 12 yani kwanzia jioni
Unaweza kufunga getini au ukazungusha juu ya fance yako
Kwa kutengenezea chuma yake au unaweza kuzisambaza kwenye eneo lako lote la nyumba yako
Delivery nafanya taa ni duara