Taa hizi zinatumia nishati ya jua, zina mwanga mkali sana ndani na nje ya ukuta /fance yako.
sifa zake: inafanya kazi SAA 12 haingi maji wala vumbi,inakuja na rimont, screw kwajili yakufungia ukutani.giza likiingia inawaka yenyewe na asubuhi pakikucha inajizima yenyewe. ina na bomba lake complete ya kufunga ukutani.
zina mwanga mkali sana warranty miaka 2. ni taa ilio ungana na panel yake complete. zinafaa kwa matumizi ya nyumbani, viwandani, mashuleni, viwanja,shamba,godown, sehemu ya parking, garden na kumbi
mikoani tunatuma