Mfanya biashara kwanini ukose wateja kwasababu ya tatizo la kukatika kwa umeme kwenye biashara yako kwamfano wamekuja wateja 10 kwenye ofisi yako na kulikuwa kweupe mara umeme umekatika ghafla utawasha toch ya simu au utanunua mshumaa yote hio ya nini we agiza taa yako ukitaka kuzungusha na nyumbani kwako ni sawa lakin tambua umeme wa jua ndio umeme wa uhakika iwe mvua ya kiasi gani taa aingii maji inafanya kazi kama kawaida inajiwasha kipindi cha jioni na pia inatumua rimont unaweza kuwasha mwenyewe kama utapenda