Taa hapo juu ni ya SOLAR
ni IP 66. usiache eneo la nyumba yako liwe giza kwasababu ya kukatika kwa umeme.Taa ya SOLAR ya 300W ni taa kubwa yenye mwanga mkali kabisa bila wasiwasi wala shida yoyote.
Inawaka kwa saa 12 na kujichaji kwa saa 12 kama . Taa inafaa kufunga shambani, hotel,shuleni,nyumba za wageni,sheli za mafuta, kiwanja cha michezo, showroom, nk.
Taa ni ulinzi wa eneo lako kuwa giza sio salama