Sonya cleanser ni cleanser utakayoihisi inapogusa tu ngozi yako kwa ubadiri wa gel yake huku ukijiskia fresh na ngozi kuwa nyepesi.
Imetengenezwa na mafuta ya miti ya baobab ya senegal inayoitwa miti ya uzima inayoweza kufanya ngozi yako iishi kwa muda mrefu ikiwa inanawiri.
Ina amino acids za apple pamoja na hydroxyacetophenone zilizobora kwa ngozi ya mafuta na combination skin.
Acacia concinna iliyoekwa ndani yake ni bora sana kwenye kuondoa cell zilizokufa, mabaka meusi na uchafu wa ngozi ulioletwa na make up.
Formular ya gel ya sonya cleanser imetokana pia na kiini cha ndani cha aloe vera kinachoongeza nguvu ya unyevu kwenye uso wako na kufanya uso upendeze, hii inarahisisha matumizi kwenye uso wako, ikiondoa uchafu na kufungua vitundu vya jasho kwenye ngozi
Tutumie ujumbe whatsapp uweze kujua zaidi.