Habari, je unaitunza vipi ngozi yako kuirudishia ubora wake, pale inappathirika na chunusi, harara pamoja na miale ya jua, tunafahamu mara nyingi ngozi huonekana ya kizee pale unapoathirika, ngozi yako inakuwa na muonekano mbaya, na hata unapotumia vipodozi vingi vinakukataa, ni kwasababu ngozi inahitaji uitunze, kwa kuirudishia unyevu wa kutosha, na pia kuifanya ipokee madini ya vitamin c na calcium kwa wingi, unahitaji ngozi isiwe na mafuta mengi wala mazito, kuicontrol ngozi yako inahitaji ubalance unachokitumia na mahitaji ya ngozi yako, karibu forever living kama ngozi yako imekuwa ikikusumbua sana, tupo na wewe kukurudishia muonekano wako bomba tena,,chat nasi whatsapp au tupigie