Habari, mambo vp, je umekuwa ukitumia skin care tools tofauti tofauti kuweza kuibalance ngozi yako iwe na muonekano mzuri hususan uso wako, wengi wamekuwa wakibadlisha skin care kutokana na kutumia vipodozi alf vinawakataa na kuishia kupata chunusi, harara na wengine mba au ngozi kubabuka, sasa basi tumia forever living products skin care zinazotengenezwa kwa teknolojia kubwa na aloe vera na huwa ni bora kwa ngozi za aina zote, products hizi kama sabuni ya maji ukiogea unakuwa huna ulazima wa kujipaka mafuta, hazipaushi na zinaretain unyevu mwingi kwenye ngozi, zinatibu ngozi kwanzia ndani, hazina adiction kwamba ukitumia ukiacha hautadhurika kama skin care zingine, ni bora sana kama haupendi kushambuliwa na chunusi, unapopata chunusi sugu ambazo haziishi kutibu itakugharimu sana kama hutafahamu ngozi yako inahitaji nn, tafadhali chat nasi whatsapp au tupigie