Habari, tunafahamu gharama za kuitunza afya ya nywele zako na ngozi ya kichwa inavopasua kichwa kama utakuwa unatumia bidhaa ambazo hazikupi muonekano wa kweli ,nikimaanisha unahitaji nywele zako ziwe na unyevu muda wote, unahitaji nywele zing'ae na wala zisibadilike rangi, unahitaji ngozi ya nywele zako zisishambuliwe na mba wala nywele zisiwe na harufy, sasa suluhisho lipo na ni product nzuri kutoka kwenye kampuni ya aloe vera ,jojoba shampoo pamoja na conditioner yake ,osha nywele zako, zikaushe ziache na muonekano unaong'aa na zenye kuonekana na unyevu muda wote