Hii ni toner ambayo Ina acid aina ya salicylic acid ambayo inatoa chunusi na hyperpigmentation hii serum inatoa madoa na weusi wa mwili,makovu na madoa sugu,Kwa wale walipata madoa na makovu yaliyotokana na chunusi , hii inamalza kabisa madoa na kuacha ngozi yako ikiwa safi.Inatumika Mara moja au mbili kwa week.
1)Husaidua kuondoa seli za ngozi zilizokufa na kuzalisha seli mpya zenye afya
2)Udhibiti wa mafuta ; hii husaidia kubalance uzalishaji wa mafuta kwny ngosi na kuzuia chunusi.
3)Husaidia kuondoa weusi na kukupa mng’ao wa asili .
4)Husaidia kutibu ngozi yenye vitobo vidogovidogo.
5)Husaidia kufungua vishimo vya vinyweleo( hair pores) na kutoa mafuta yalioganda , hutibu wekundu unaoachwa na chunusi . kazi hii husaidia sana kutibu kurudia kwa chunusi mana mafuta kuganda kwny vitobo vya ngozi ndo sababu kubwa ya chunusi