Michiriz inatokea baada ya mwili kutanuka na uwezo wa ngozi kuwa elastic ni mdogo, hivyo ngozi inalazimika kuvutika zaidi ya uwezo wake na kuleta alama za michirizi. Dawa ya hili ni kitumia bidhaa zenye wingi wa vitamin E na aloe vera yenye vitamin c nyingi mno, kufanya ongezeko la unyevu ngozi isiwe kavu na vitamin E huongeza mvutiko wa ngozi mara mbili zaidi kuruhusu kutanuka na kunywea kwa ngozi, tupigie upate pack yako