Habari, hivi kwanini unasumbuliwa na vipele vya ndevu, tatizo hili limekuwa gunzo kwa watu wengi na hii ni kutokana na utumiaji wa vifaa vyenye ncha kali kama wembe na pia tatizo kubwa lingine ni nywele kujisokota ndani ya ngozi ndo husababisha mapele kujitokeza kwenye ngozi hususan kwenye shingo, chini ya kidevu na hata sehemu zingine kama makwapani na kwenye sehemu zingine za siri, basi tatizo lina kikomo kama utatumia dawa madhubuti kama forever gentle pride inayosuia nywele kujisokota ndani ya ngozi na pia inalainisha ngozi baada ya kushave isiwe na ukakamavu bali ionekane laini zaidi, ni kutoka kampuni ya forever inayotumia aloe vera kitengeneza bidhaa zake