Forever aloe sunscreen ina spf 30 (sun protecting factor) kukuhakikishia inakupa layer nzuri ya kuzuia direct sun radiation (miyale ya jua) inayoua cell za ngozi na kimaliza collagens,
miyale ya jua ipo mara mbili uva na uvb rays ambazo kuna zinazoharubu kwa ndani na kwa nje, ukipaka sunscreen inatengeneza layer ambayo izi rays hazikuti ngozi yako
forever sunscreen ina upekee wake pia kwa uwepo wa aloe vera kwa wingi itakayokusaidia kukupa unyevu kwnye ngozi na kubalance kiwango cha mafuta kwenye ngozi hii ni faida kwa wenye sensitive skin.
paka sunscreen kabla ya kutoka ndani kwako kujihakikishia ngozi yako haizeeki na pia unajikinga na hatari ya magonjwa ya ngozi kama saratani ya ngozi.