Je ngozi yako unaitibu mara kwa mara lakini suluhisho linagonga mwamba, je mara baada ya kutumia creams rushes na chunusi hurudi tena, forever living products inayo suluhisho la watu wanaoshambuliwa sana na chunusi zisizoisha, rushes usoni na pia mba, changamoto hizi ziko ndani ya ngozi kwenye damu hivyo unahitaji tiba ya kuanzia ndani na nje, supplements zetu zinairutubisha ngozi yako na kuondoa kemikali zinazoathiri ngozi yako kutoka kwenye mafuta na creams zingine tunazotumia mara kwa mara na pia kama radiation za jua zinakuathiri tunakupa supplements za kuifanya ngozi yako iwe natural na yenye rotuba kama ilivokuwa hapo mwanzo, hivyo tatizo tunalitibu kwanzia ndani kwa kuipa ngozi vitamin c na D kwa wingi. tatizo lako litatibiwa moja kwa moja