Habari, tunafahamu ngozi zetu ndo huwa zinatupa muonekano mzuri au usiwe mzuri hususan usoni, wako watu wenye ngozi kavu hivyo hupata chunusi kavu na pia wapo wenye ngozi yenye mafuta hivyo hupata chunusi kwa ajili ya mafuta mengi, sasa wengi huwa wanajaribu kutatua changamoto hizo bila kujua ngozi inataka nini, hivyo kuishia kuwa na madoa, chunusi kuongezeka n.k sasa forever living imekuja na cream muhimu kwa manufaa ya ngozi zote yenye vitamin c na zink kwa wingi mno na asali ambayo iyaongeza unyevu muda wote kwenye ngozi yako na pia kuondoa chunusi na harara zote na kukupa ngozi inayongaa na yenye unyevu kukuacha na furaha siku nzima, wasiliana nasi hapa tafadhali