Ina mchanganyiko wa salicylic acid, ceramide na hyaluronic acid.
Salicylic acid - inaingia kwenye pores kutoa uchafu na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi na zile dead skin cells . Pia inafungua matundu ya ngozi na kufanya chunusi zisiendelee kutokea
Hyaluronic acid- Inafanya ngozi isiwe kavu
Ceramide -inafanya ngozi kuwa na afya so ndo unapata ngozi ambayo ni very soft and smooth