Ni nzuri kwa ngozi za aina zote hasa wale wenye ngozi za mafuta na ambayo inapata chunusi Mara kwa mara... Inafunga pores na kuondoa uchafu wote unaoziba pores na kupelekea breakouts
Inapurify ngozi, clear skin na kurepair barrier ya ngozi so uso unakua healthy
Salicylic acid - inaingia kwenye pores kutoa uchafu na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi na zile dead skin cells . Pia inafungua matundu ya ngozi na kufanya chunusi zisiendelee kutokea
Hyaluronic acid- Inafanya ngozi isiwe kavu
Ceramide -inafanya ngozi kuwa na afya so ndo unapata ngozi ambayo ni very soft and smooth